Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Views:
372,937,436
Subscribers:
1,310,000
Videos:
27,738
Duration:
141:23:21:33
Kenya
Kenya

Simulizi Na Sauti is a YouTube content creator with over 1.31 million subscribers. His content totals over 372.94 million views views across roughly 27.74 thousand videos.

Created on ● Channel Link: https://www.youtube.com/channel/UC5kGMWL-g-T1n4inkrpNAmQ





All Videos by Simulizi Na Sauti



PublishedVideo TitleDurationViewsCategoryGame
2021-12-31ALIKIBA amtaja YOGO kuwa ndiye Producer bora wa Mwaka 20212:364,149
2021-12-31Kenya kuwatenga wanafunzi kisa hiki,Jeshi la DRC lakabiliana na waasi wapya,Sudan na maandamano8:17745
2021-12-31WAKE wa DR MWAKA wakutana South Africa, Wapeta na NDINGA la kifahari Mtaani, Wavaa sare, UTAPENDA8:0233,288
2021-12-31BABALEVO achezea Shambulizi zito baada ya kusema 2022 anaanza kuimba RNB2:339,922
2021-12-31Alichokifanya MIMI MARS kwa MARIOO kwenye Birthday yake hakijawapendeza Mashabiki, waandika haya4:0046,556
2021-12-31AJABU: Ashushwa kwenye ndege kwa kuvaa nguo ya ndani ya kike kama barakoa1:327,263
2021-12-31ITAKUSHANGAZA: Mike Tyson alimbwaga mpenzi wake kisa tu alimfanya kitoweo moja ya njiwa wake1:536,968
2021-12-31Kipindi cha XXL (Clouds FM) chatoa orodha ya nyimbo 20 bora za Bongo Flava 2021, hii hapa3:015,219
2021-12-31Jamaa ajiviringisha misokoto ya bangi mwilini na kuifunika kuwakwepa polisi1:586,248
2021-12-31Ndugu wawili wa Afghanistan wamuua dada yao kisa anaishi kizungu,anavaa suruali2:323,885
2021-12-31Mrembo wa Instagram afariki hotelini akila bata la sikukuu na Billionea nchini Ghana1:516,995
2021-12-31Stone Bwoy: Ni kweli, Nigeria hairudishi upendo inaoupata toka nchi zingine za Afrika kimuziki4:548,377
2021-12-31Nicki Minaj alizwa na kifo cha aliyekuwa meneja wake aliyeuawa na kufungiwa kwenye buti la gari1:473,202
2021-12-30Bongo fleva ni ardhi yenye mashimo nane, Mac Voice na Anjella hawajapewa sikio la kutosha 202120:2714,406
2021-12-30Ray Vanny azua gumzo baada ya kumuita Zuchu ‘Shem’3:1435,227
2021-12-30Hizi ni shoo kubwa zilizoujeruhi mwaka 2021, Dj Khalid,Burna Boy, Kanye,Wizkid, Drake,P Square ndani19:574,817
2021-12-30AFCON 2022: Wachezaji Guinea kurudisha hela wasipochukua kombe, Ian Wright aponda wazungu kulibagua4:058,582
2021-12-30Safaree achukizwa na kumchana Kanye West kwa uvaaji huu wa kawaida licha ya ukubwa na umaarufu wake,2:244,698
2021-12-30Ni kolabo ya Fik Fameica toka Uganda na Harmonize, inaitwa champino, kuachiwa mapema 20221:2310,640
2021-12-30Charles Hillary wa Azam TV ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu - Zanzibar1:3712,500
2021-12-30Wasafi Media, Lucca Swahili, designers waahidi kuwasaidia wasanii wanaorekodiwa bure na S2kizzy2:5816,825
2021-12-30Sylvester Stallone alivyoshikishwa mtoto asiye wake, kuoa mara 3, kumrudia aliyemwacha na kumuoa8:5715,959
2021-12-30AJABU: Aliyekuwa mume ampa zawadi mume wa sasa mkewe kwa kumlelea watoto wake vyema1:5818,336
2021-12-30Wanafunzi watatu waliyoandikiana meseji Boko Haram wanatoa ajira waachiliwa huru1:442,294
2021-12-30Mke ajiua baada ya mume kumuibia pesa na kuzitumia kuoa mke mwingine1:5113,425
2021-12-30Aliyeandaa series ya SQUID GAME atangaza ujio wa season 3, mashabiki wadai haitokuwa na mvuto2:224,789
2021-12-30'Baniani Mbaya kiatu chake dawa' Miami Beach tena, tunawachallenge Wamarekani na Kiswahili10:101,122
2021-12-30The Rock aukataa mualiko wa Vin Diesel kushiriki kwenye filamu ya mwisho ya FAST AND FURIOUS 101:435,822
2021-12-29Mahakama yamuamuru Diana Marua aifute video YouTube aliyodai Willy Paul alitaka kumbaka5:0916,660
2021-12-29Kanye West haeleweki licha ya kumtaka Kim, camera zamnasa akiwa kwenye huba zito na mrembo huyu2:559,201
2021-12-29Shatta Wale amchana Rema kwa kuwakosea heshima wanawake wa Ghana, Wizkid aomba Afrika isichukiane9:4914,524
2021-12-29WHO yasema mlipuko wa Omicron bado uko juu,wachimbaji 31 wafariki nchini Sudan, ni Marekani na Urusi8:44592
2021-12-29Arusha: House Boy adaiwa kumuua bosi wake na kukimbia4:002,883
2021-12-29Nani Baba nani mtoto? Mashabiki wahoji,wapagawa mfanano wa Ja Rule na mwanaye huyu, ni kama mapacha3:536,301
2021-12-29Watoka MAREKANI na kuja TZ kijijini kufunga NDOA yao, wafunguka sababu, tukio lao lasimamisha kijiji22:1725,241
2021-12-29Ndoa ya Anold Schwarzeneger na Maria yavunjika baada ya kubainika alizaa na mfanyakazi wake wa ndani1:548,362
2021-12-29Alikiba: Nafikiria kuachia album mpya 20221:136,936
2021-12-29Kisa AMAPIANO Eric Omondi aikubali kauli ya Alikiba na Maua Sama, aapa kuwa unfollow mastar wa Bongo4:0112,820
2021-12-29Utani wa Maua Sama kuhusu kutofanya Amapiano waenda viral, Alikiba na Eric Omondi watia neno2:1812,721
2021-12-29Mbaroni kwa kumfyatulia risasi jirani yake akimtuhumu kupiga muziki kwa sauti ya juu1:301,508
2021-12-29Iran yawapa siku 10 wafungwa wakristo kusherehekea Chrismas na familia zao nyumbani tarehe 6 mwakani2:363,263
2021-12-29Babu wa miaka 80 anywa dawa za nguvu za kiume amuua mkewe kwa kukataa kufanya naye tendo la ndoa2:4612,213
2021-12-29TALAKA YATIMIA: Dr Dre akubali kumlipa Nicole bilioni 230 kama sehemu ya talaka, magari ya kifahari2:232,448
2021-12-29Mrembo atoboa siri wasichana wa chuo wanavyorubuniwa kutuma video za utupu, alifuatwa na dada yake9:3923,258
2021-12-29Kim Kardashian aweka chati ya Spotify ikionesha wimbo wa Fire Boy na Ed Sheeran PERU ukiongoza US3:041,812
2021-12-29Wanawake waandamana kupinga mauaji yanayofanywa na Taliban dhidi ya waliofanya kazi na Marekani2:142,395
2021-12-29Jeshi la Uganda ladhibiti kambi yenye waasi 600 na familia zao DRC1:582,610
2021-12-29Birdman kufukuzwa kwenye mjengo aliopanga, ashtakiwa kwa kukwepa kodi ya miezi mitano milioni 3381:486,026
2021-12-28Diamond alihitaji ngoma 12 tu kwenye album yake, amerekodi 51, na sasa inabidi afanye hili1:4233,593
2021-12-28Waziri Mkuu Somalia ataka jeshi kumpuuza Rais wao,Ethiopia yailaumu US kwa kuitoa kwenye msamaha9:061,884
2021-12-28DIOR wamtema Travis Scott kisa vifo vilivyotokea kwenye tamasha lake1:463,294
2021-12-28Afariki kwenye mashindano ya kula Uganda,alikwamwa na chakula kwenye koo2:227,299
2021-12-28Sallam ataja kinachowakamisha wasanii wengi wa Tanzania licha ya kuwa na vipaji8:0215,818
2021-12-28INASIKITISHA: Baba amuua mwanaye kisa kamkatiza usingizi alipokuwa amelala2:124,095
2021-12-28Zuchu: Sukari ndio wimbo wa mwaka, anayebisha aje na namba na facts, nitasubiri1:268,325
2021-12-28Baada ya Zuchu kumpinga Eric Omond aliyedai AMAPIANO imeua Bongo Fleva, Eric amjia juu na hili6:0412,176
2021-12-28Polisi wafunguka kuhusu kijana anayedaiwa kumuua Mama yake Mfanyabiashara wa Madini Arusha1:059,250
2021-12-28Achana na nyama uzembe, Rick Ross aamua kuonesha ufundi wake kwenye mchezo wa masumbwi2:347,567
2021-12-28Mke aliyepofushwa kwa tindikali na mumewe amsamehe warudiana tena2:412,978
2021-12-28Mama Mfanyabiashara wa madini aliyeuawa na mtoto wake kwa tamaa ya mali na kutupwa chooni azikwa2:097,336
2021-12-28Kaburi la siku moja lafukuliwa na kisha jeneza kuvunjwa na wasiojulikana Katavi1:461,726
2021-12-28Tuzo za AEAUSA 2021 zapondwa kisa ushindi wa J Balvin, tuzo ni za Waafrika, waandaaji wagoma wajibu8:071,119
2021-12-28Ben BN: Engineer MTZ anayefanya gospel Australia, afunguka ajali 2 zilivyomfanya aachie wimbo Asante14:491,146
2021-12-28"Tunavutiwa sana na muziki wa Lava Lava na Rayvanny" Rayluck, Ralji na Rayton wasanii toka Kenya11:144,089
2021-12-27Mwanamuziki nguli wa Congo, General Defao afariki dunia, Ferre Gola amlilia1:4815,678
2021-12-27Staa wa Ghana Shatta Wale awatukana vibaya wasanii wa Nigeria, ampigia debe Diamond kupitia Flavour5:5877,991
2021-12-27Hanscana aongoza video ya collabo ya Otile Brown na Harmonize2:5134,982
2021-12-27TIWA SAVAGE: Nilipanga kwenye nyumba moja aliyokuwa akiishi Davido nilipohamia Nigeria,tunajuana3:1711,897
2021-12-27Aslay atinga Mombasa, amtungia wimbo Mhe. Abdulswammad Shariff Nassir, kuvunja ukimya wake2:4527,265
2021-12-27Baby Mama Drama: Jina la Harmonize laondolewa kwenye bio ya ukurasa wa Instagram ya mwanae Zuuh3:1737,828
2021-12-27Mapenzi yanamvuruga Kanye, anunua mjengo uliojengwa miaka ya 90 ulio jirani na Kim kwa bilioni 102:1413,792
2021-12-27Saba wafariki kwa mlipuko DRC,Rais na waziri mkuu wavutana hadharani Somalia, Desmond Tutu kuzikwa8:32921
2021-12-27Jackie Cliff akerwa na waliomzushia kupelekwa Dubai na kununuliwa Benz, afunguka na kutoa onyo2:247,553
2021-12-27Gavana Joho kumrudisha Alikiba Mombasa mkesha wa mwaka mpya1:499,601
2021-12-27Eric Omondi adai Amapiano imeiua Bongo Flava, Zuchu, Barnaba, Yogo Beatz, Aidan wafunguka9:5613,643
2021-12-27Hiivi ndivyo Drake alivyosheherekea Christmas kwa kugawa vitita vya pesa mitaani huko Toronto Canada1:575,585
2021-12-27Taliban wapiga marufuku wanawake kusafiri bila wanaume wa kuwaangalia2:322,669
2021-12-27Amchana mtoto wake kwa wembe sehemu za siri akimtuhumu kudokoa nyama ya kuku1:332,215
2021-12-27Akamatwa na polisi kwa tabia ya kumpiga chabo shangazi yake1:572,325
2021-12-27Tuzo za AEAUSA: Diamond msanii bora wa mwaka, Kenny, Director bora, Wizkid na Tems wazitawala2:3026,922
2021-12-27Msanii Willy Paul atangaza nia yake ya kugombea ubunge Mathare kwenye uchaguzi mkuu 2022 Kenya2:151,693
2021-12-27Nadia Mukami mjamzito? Aficha tumbo lake kwa kuvalia sweta akiwa stejini na mpenzi wake Arrow Bwoy1:2311,775
2021-12-26Mrembo huyu azuiliwa kuhudhuria harusi ya rafiki yake wa karibu sababu alipendeza sana!2:0636,258
2021-12-26Ujumbe wa mke wa Alikiba, Amina wawaacha watu njia panda, waashiria ni mhanga wa unyanyasaji3:3623,948
2021-12-26P-Square wapiga magoti na kuwaomba msamaha mashabiki kwa kulivunja kundi, wapiga bonge la show2:1423,934
2021-12-26Mrembo Nora Fatehi akoshwa na alichokifanya Kili Paul kwenye wimbo wake mpya 'Dance Meri Rani'1:4858,612
2021-12-26Otile Brown na Harmonize waanza kushoot video za ngoma zilizomo kwenye EP yao ijayo1:2226,606
2021-12-26Christmas Date: Diamond ampeleka Zuchu Dinner, wavaa sare, penzi limekolea? 'I Found a Girl'9:57137,236
2021-12-26Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini afariki dunia1:084,628
2021-12-25Zanzibar: Watu wanne wa familia moja wafariki dunia baada ya kula Kasa2:1510,611
2021-12-25Regina Daniels atumiwa na mumewe Shilingi Milioni 115 kama zawadi ya Christmas2:4628,298
2021-12-25HABARI PICHA: Mastaa mbali mbali wakiwa katika picha na familia zao kwenye siku kuu ya Christmas1:517,130
2021-12-25Ronaldo awafunika mastaa wote kwa post ya Christmas, yafikisha LIKES milioni 12 IG ndani ya masaa 182:5417,642
2021-12-25Rose Muhando azawadiwa gari na Kuhani Musa Richard2:2322,025
2021-12-25Diamond aachia video ya Unachezaje, Director Ivan aambiwa amefanya movie, haya ni makubwa yaliyomo10:3954,272
2021-12-25NOMA: Peru ya Fire Boy na Ed Sheeran yafikisha watazamaji milioni 2.6 ndani ya masaa 24 You Tube3:183,866
2021-12-25S2Kizzy atangaza kurekodi nyimbo bure kuanzia Jumapili hii hadi mwaka mpya1:093,182
2021-12-25Mtoto wa Elchapo atoa agizo la kuuawa kwa mwanamuziki aliyekataa kutumbuiza kwenye harusi yake1:1410,820
2021-12-25Mrembo wa Rwanda atwaa taji la Miss East Africa1:2115,262
2021-12-25Maajabu ya Fire Boy na Ed Sheeran kwenye PERU remix, taifa la Peru laingilia kati,wadai imetoka kwao4:394,448