SIMBA SC 1-0 AZAM FC: FULL HIGHLIGHTS (VPL - 23/10/2019)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=b9Og2UyDeAE



Duration: 31:05
409,410 views
1,186


Bao pekee la straika Mnyarwanda Medie Kagere limetosha kuipa Simba pointi tatu muhimu mbele ya matajiri wa Chamazi, Azam FC.

Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam, ukiifanya Simba kusalia kileleni ikiwa na pointi zake 15 baada ya kushinda mechi zake zote 5.

Azam FC yenyewe imepoteza mchezo wake wa kwanza baada ya kushinda mechi zote tatu zilizopita na hivyo kubaki kwenye nafasi ya sita na pointi tisa katika michezo minne.