Gavana mwangaza asubiri uamuzi wa kura ya Seneti
Channel:
Subscribers:
4,810,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=NLyKYCrgF2A
Bunge la Seneti litapiga kura ya kuamua iwapo Gavana wa Meru Kawira Mwangaza atatimuliwa ofisini au la. Bunge la seneti limekuwa likisikiliza hoja ya kuondoa mwangaza mamlakani kwa siku mbili baada ya kutimuliwa na wawakilishi wadi. Hoja hiyo inayohusisha madai ya matumizi mabaya ya mamlaka ingali inajadiliwa katika bunge la Seneti.