Mtu mmoja auwawa na umeme wa mvua Chesiliot Bomet

Subscribers:
4,810,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=8RK-dn8Hk-A



Duration: 4:18
0 views
0


Shirika la Msalaba mwekundu limeonya kuwa hatua za dharura zinafaa kuchukuliwa ili kukabiliana na mafuriko nchini huku baraza la magavana likitaka mabilioni ya pesa iliyotengwa kukabiliana na mvua ya El-Nino kutumika kuwapa msaada waliohama kwao kutokana na mafuriko. Kufikia jumanne wiki hii ,zaidi ya familia elfu themanini na mbili zimehama kwao huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha