Fumo Felician: Wachezaji wengi siku hizi hawajitambui (MAKALA - TPL 2018/19)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Deo0dthn2yk



Duration: 21:57
1,205 views
8


Mchezaji wa zamani wa timu ya Pamba na Yanga Fumo Felician amesema wachezaji wengi wa soka hivi sasa hawajitambui na wanashindwa kuzitumia fursa zilizopo kwaajili ya kuitangaza nchi.

Fumo amesema laiti kama fursa zilizopo sasa, zingekuwepo enzi zao, basi Tanzania ingekuwa na sura tofauti katika soka la dunia.

Amesema wachezaji wengi siku hizi hawaigi vitu vya maana bali vitu visivyokuwa vya msingi ikiwemo mitindo ya kunyoa.

Makala hii imeangazia kwa kina historia kamili ya gwiji huyo wa soka la mkoani Mwanza na Tanzania kiujumla ambaye alivuma zaidi akiwa na timu ya Soka la Pamba FC.

Katika mahojiano haya maalum kwaajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Philip Cyprian amezungumza na Fumo mwenyewe ambaye amekumbushia mengi ya enzi zake, huku akitaja kilichoifanya Pamba iwe moto wa kuotea mbali enzi hizo na kilichoifanya Pamba ipotee kwenye ramani ya soka.

Amesema baada ya soka, hivi sasa anajishughulisha na biashara ya duka akishirikiana na mke wake.




Other Videos By Azam TV


2018-09-05Muswada wa bodi ya taaluma ya walimu 'wavuruga' wabunge
2018-09-05Ekolojia ya wanyama hatarini kutokana na viumbe vamizi
2018-09-05Bei ya Petroli na Dizeli zashuka kwa baadhi ya mikoa, ufafanuzi watolewa
2018-09-05Naibu Spika 'agoma' kusoma barua ya Museveni kuhusu usalama wa wabunge
2018-09-05Mbwana Samatta: Tusitazame Uganda kama mechi kubwa, tulenge AFCON
2018-09-05Rais Magufuli aahidi kufukuza watu mradi wa maji mkoani Mara ukikwama
2018-09-05Balozi Kijazi ataka majina ya ufisadi tenda za wahandisi
2018-09-05Madiwani wa CUF waliosimamishwa kwa zaidi ya mwaka mmoja warejeshwa
2018-09-05Mahujaji 120 wa Tanzania warejea salama
2018-09-05HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA MUSOMA - 05/09/2018
2018-09-05Fumo Felician: Wachezaji wengi siku hizi hawajitambui (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-05Wachezaji wa zamani Coastal Union wasimulia walivyoipigania timu hiyo (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-05Nataka Mbao FC imalize ligi ikiwa nafasi nne za juu – Kocha Amri Said; (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-05Siangalii uwezo wa mchezaji, naangalia nidhamu - Kocha wa Mwadui FC (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-05JKT Tanzania: Mashabiki wengi watazihama timu zao na kujiunga na sisi (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-05Magufuli atolea uvivu 'uwekezaji katika Musoma Hotel'
2018-09-05Simba na Yanga 'kukitifua' mechi za kirafiki Septemba 8 na Septemba 9 mwaka huu
2018-09-05Ummy Mwalimu 'kula sahani moja' na wanaopotosha kwenya mitandao ya kijamii
2018-09-05Simiyu yaja na mikakati ya kumkomboa mkulima wa Pamba
2018-09-05Zaidi ya shilingi bilioni 660 kujenga barabara za Dar es Salaam
2018-09-05Wanafunzi waliofanya vizuri Zanzibar wazawadiwa



Tags:
michezo
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
kocha
Azam TV
soka
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League
Fumo
Felician
Mwanza
Fumo Felician