Bei ya Petroli na Dizeli zashuka kwa baadhi ya mikoa, ufafanuzi watolewa
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=A9DeRq698i4
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nishati (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta katika baadhi ya mikoa huku mikoa mingine bei ikisalia kuwa juu.
Kwanini hali iko hivyo?
Ufafanuzi umetolewa
Other Videos By Azam TV
Tags:
Mafuta
Crude Oil
Bei ya mafuta
Petrol Station
Gari
Pikipiki
Usafiri