Rais Magufuli aahidi kufukuza watu mradi wa maji mkoani Mara ukikwama
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=YDktgcyy9Cw
Katika siku ya kwanza ya ziara ya siku nne mkoani Mara, rais Magufuli ametoa onyo kwa mkandarasi wa mradi wa maji mkoani Mara sambamba na atendaji wengine kuwa yuko tayari kuwafuta kazi iwapo mradi huo hautamalizika kwa wakati.
Msikilize
Other Videos By Azam TV
Tags:
Magufuli-Mara
Magufuli Ziarani Mara
Maji ni uhai