Madiwani wa CUF waliosimamishwa kwa zaidi ya mwaka mmoja warejeshwa
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=oZz2DvHCWwI
Madiwani wanne wa chama cha CUF waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya baraza la madiwani mkoani Tanga kwa mwaka mmoja na miezi miwili kwa utovu wa nidhamu wamerejeshwa.
Sikiliza ufafanuzi wa sababu za kusimamishwa na hatua ya kurejeshwa kwao
Other Videos By Azam TV
Tags:
Baraza la madiwani
Tanga
Siasa