Mbwana Samatta: Tusitazame Uganda kama mechi kubwa, tulenge AFCON
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=DOtSsW3mW14
Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amegoma kuzungumzia kiundani namna kikosi cha Taifa Stars kitakavyocheza dhidi ya Uganda na kusema watanzania tuangalie mashindano kwa upana wake kwasababu kuna mechi nyingi na lengo ni kufuzu AFCON.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Mbwana Samatta
SamaGoal
Taifa Stars
Emmanuel Amunike