Muswada wa bodi ya taaluma ya walimu 'wavuruga' wabunge
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=rF7zx9VTRqw
Mjadala mkali umezuka miongoni mwa wabunge wakati wa kujadili muswada wa kuundwa kwa bodi ya taaluma ya walimu huku mapendekezo yakitaka isiishie kwa ngazi za chini tu.
Wasikilize wabunge hawa
Other Videos By Azam TV
Tags:
Bunge Tanzania
Elimu
Bodi ya Elimu
Elimu ya juu
Elimu ya msingi
elimu ya sekondari
Mwalimu
Mwanafunzi