HIGHLIGHTS & INTERVIEWS: ALLIANCE FC 1-1 COASTAL UNION (TPL - 28/10/2018)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=SWvix0BQ44A
Timu ya Alliance FC imeambulia pointi moja baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Coastal Union Union katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza.
Coastal ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 45+3 kupitia kwa deogratius Anthony kufuatia makossa ya Nahodha wa Alliance Hance Masoud, ambaye naye alifuta makosa kwa kufunga bao la kusawazisha dakika ya 54.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Tanzania Premier League
Soka
soccer
football
Tanzania
michezo
ligi
ligi kuu
Azam
Azam TV
Azam TV App
Goli
bao
magoli
mabao
goals
Alliance
Coastal Union
Alliance vs Coastal
Hance masoud
Deogratius Anthony