Ajali ya ndege yaua 189
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=sTrloq779Xs
Watu 189 wamepoteza maisha leo baada ya ndege ya abiria ya Shirika la Lion Air aina Boeing 737 ya nchini Indonesia kuanguka baharini muda mfupi baada ya kupaa kutoka ktk uwanja wa ndege mjini Jakarta Indonesia, ndege hiyo ilikuwa imebeba Watu 189 na chanzo cha kuanguka kwake bado hakijajulikana.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam Tv
Azam TWO
Azam Tv App
Azam TV Habari
Habari Azam TV