Ujenzi eneo la Fuoni wasitishwa kutokana na mgogoro wa ardhi
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=PQTdTkHASO4
Mgogoro wa ardhi umeibuka kwenye eneo la Fuoni kwa mabata na kumalzimu mkuu wa mkoa wa Mjini Magharibi, Ayoub Mohamed kuzuia ujenzi uliokuwa unaendelea kwenye eneo hilo hadi pale umiliki halali wa eneo hilo baina ya wanawake wa maskani ya Mama Siti Mwinyi na Ahmed Kassim utakapothibitika.
Other Videos By Azam TV
Tags:
mgogoro wa ardhi Zanzibar
Maskani ya Mama Siti Mwinyi
Mkuu wa mkoa Mjini Magharibi
Fuoni kwa Mabata
Ardhi Zanzibar
Kilimo Zanzibar
Maendeleo Zanzibar