Serikali yaupinga mpango wa Bharti Airtel
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=edB9DwdcFkg
Serikali imeipinga hatua ya kampuni ya Bharti Airtel kukaribisha wanahisa wapya ndani ya kampuni ya Airtel Afrika Limited inayodaiwa kusajiliwa nchini Uingereza huku msajili wa hazina akisema hakuna hatua inayopaswa kuchukuliwa na Bharti Airtel hadi majadiliano kati ya Serikali na Airtel Tanzania PLC yakamilike.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Serikali
Mawasiliano
Uwekezaji
wanahisa
Msajili wa hazina
Bharti Airtel
Airtel Tanzania PLC