Zitto Kabwe akosa dhamana, aendela kuhojiwa na Polisi
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=UNEbRzdKZXo
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amekosa dhamana na kulazimika kusalia chini ya mikono ya jeshi la polisi ambalo lilimchukua mapema leo kwa ajili ya mahojiano kuhusiana na tuhuma za mauaji alizozitoa dhidi ya jeshi hilo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Zitto Kabwe
Siasa Tanzania
ACT Wazalendo
Addo Shaibu
Liberatus Sabas
Mahojiano
Zitto kuhojiwa na polisi