KMC FC 3-0 NDANDA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 31/10/2018)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=O1dcIWN1gLw



Duration: 20:59
12,984 views
28


James Msuva ambaye ni ndugu wa Saimon Msuva amefunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 3-0 iliyoupata KMC dhidi ya Ndanda FC.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara umepigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo Msuva aliyetokea benchi amefunga bao la pili dakika ya 60 na bao la tatu dakika ya 76.

Bao la kwanza la KMC ambayo iliutawala zaidi mchezo wa leo limefungwa na Omary Ramadhan dakika ya 14 ya mchezo.







Tags:
Tanzania Premier League
Soka
soccer
football
Tanzania
michezo
ligi
ligi kuu
Azam
Azam TV
Azam TV App
Goli
bao
magoli
mabao
goals
KMC
Ndanda SC
KMC vs Ndanda
Msuva
Uhuru
Dar es Salaam