Azam FC yamtangaza Aristica Cioba kuchukua mikoba ya Ndayiragije
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=D65IX9HlJW0
Klabu ya Azam FC leo imemtambulisha Mromania, Aristica Cioba kuwa tena kocha wa timu hiyo akichukua nafasi ya Mrundi, Etienne Ndayiragije. Aristica ambaye awali aliiongoza Azam FC msimu wa 2017-18 anajiunga na klabu hiyo akitokea Sohar SC ya Oman.
#AzamNews #AzamTVUpdates #UTV