Dar kinara wa ukusanyaji wa mapato, yakusanya Sh39.5 bilioni
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=aftU69BwqbU
Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – Tamisemi Selemani Jafo ametoa taarifa ya makusanyo ya mapato kwa kipindi cha robo mwaka huku Mkoa wa Dar es Salaam ukishika nafasi ya kwanza kwa kukusanya Shilingi 39.53 bilioni
#AzamNews #AzamTVUpdates #UTV