UCHAMBUZI: Dar es Salaam, Dodoma vinara ukusanyaji mapato, Kigoma yaburuza mkia
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Z1_KVJsDvtE
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI Selemani Jafo amesema mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma ndiyo iliyoshika nafasi mbili za juu kwenye ukusanywaji wa mapato huku mkoa wa Kigoma ukikamata nafasi ya mwisho kwenye zoezi hilo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
TAMISEMI
Selemani Jafo
Uchambuzi
Mapato
TRA