Bashiru Ally akiri kuwepo kwa dosari za kuwapata wagombea wa CCM
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Rgsv1NYpDgI
Katibu mkuu wa CCM, Bashiru Ally amekiri kuwepo kwa dosari kwenye uchaguzi wa ndani kwa wagombea mbalimbali na kutaka kufanyike kwa marekebisho ya haraka ya ili kuwapata wagombea halali wataoenda kushindana na wapinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Other Videos By Azam TV
Tags:
CCM
Bashiru Ally
Uchaguzi