TRA yatishia kupiga mnada mabasi ya "mwendokasi" yaliyoko bandarini
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=PQef0HpVQM4
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesema itayauza kwa mnada mabasi 70 ya mwendo wa haraka ambayo yamenasa bandarini jijini Dar es Salaam baada ya waagizaji wa mabasi hayo kushindwa kuyalipia kodi stahiki huku kampuni hiyo na TRA zikiendelea na majadiliano ya ziada juu ya malipo hayo baada ya muda wa kisheria wa siku 90 kumalizika.
Other Videos By Azam TV
Tags:
TRA
Tanzania Revenue Authority
Kayombo TRA