Makamu wa Rais aishauri AALCO kutazama misingi ya sheria zake ili kusaidia amani
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=y1y_O4uDhZc
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amelishauri Shirika la Mashauriano ya Sheria za Kimataifa za nchi za barta la Afrika na Asia kutazama kwa kina misingi ya uundwaji wa sheria zake ili iweze kuzisaidia nchi wanachama kupata amani na ushirikiano zaidi.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Samia Suluhu
Amani
Mikataba ya kimataifa
Sheria za kimataifa