Je, matumizi ya vipaza sauti vya wamachinga ni hatari iliyojificha?
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=iEV0cxr-FF0
Ongezeko la wafanyabiashara wengi wadogo maarufu kama 'wamachinga' kutumia vipaza sauti kumekuwa kero kwa baadhi ya wananchi mkoani Tabora.
Je, hii ni hatari ya kiafya na usalama iliyojificha?
Juma Kapipi amekuja na taarifa kamili
Other Videos By Azam TV
Tags:
Wafanyabiashara ndogondogo
Wamachinga Tabora
Vipaza sauti
Kero
Hatari iliyojificha
Hatari