Xi Jinping aipa Tanzania Bil. 90
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=HrB-tamgk6Y
Rais wa China Xi Jinping ameahidi kuipa Tanzania msaada wa Shilingi Bilioni 90 zisaidie miradi ya maendeleo kwenye nyanja za viwanda, teknolojia, biashara, elimu, kilimo, afya na teknolojia ya habari (TEHAMA).
Other Videos By Azam TV
Tags:
Xi Jinping
Kassim Majaliwa
Msaada
Ushirikiano wa kiuchumi Tanzania na China