Hii ndiyo mikakati ya Stand United msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (MAKALA – TPL 2018/19)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Q5zjGRxpLxk
Kocha wa Stand United Niyongabo Almas amezungumza na Azam Sports na kuweka wazi mikakati ya timu hiyo kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ameeleza pia magumu aliyopitia msimu uliopita.
Ni mahojiano maalum katika mfululizo wa Makala ambazo huruka kupitia Azam Sports 2.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Stand United
Shinyanga
soka
michezo
wachezaji
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
Azam TV
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League