Tulifukia mbuzi katikati ya uwanja – Mchezaji wa zamani Singida United (MAKALA - TPL 2018/19)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=ISMpukYL-i8



Duration: 17:54
642 views
5


Mchezaji wa zamani wa soka mkoa wa Singida James Hamis Kitila, ameichambua kwa kina hitoria ya soka mkoa wa Singida katika Makala hii maalum kwaajili ya msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kitila amesema moja ya vitu ambavyo hawezi kusahau ni wakati fulani waliwahi kuchimba katikati ya uwanja na kufukia mbuzi ili washinde mechi lakini matokeo yalikuwa tofauti na matarajio, huku Haruna Moshi akichangia kuyatibua.

Mkoa wa Singida kwa sasa una timu moja ya Singida United inayoshiriki Ligi Kuu na katika makali hii, Kitila anaichambua timu hiyo huku akieleza sababu za kushindwa kwake kupanda mapema Ligi Kuu.

Kitila pia anatoa maoni yake kuhusu timu hiyo kwa jinsi anavyoiona msimu huu, Je, anaamini itamaliza ligi ikiwa nafasi ya ngapi?
Kitila pia amekumbushia historia ya kusisimua kuhusu mawe yanayouzunguka uwanja wa Namfua.

Kwa sasa Kitila ni kiongozi wa chama cha soka mkoani humo, jina lake ni Hamis Kitila, lakini alipewa jina la utani la James.

Katika safari yake ya soka, Mzee Kitila anawataja watu kama Ally Mayay, Haruna Moshi Boban na wengineo kama watu wenye mchango katika maisha yake ya soka huku akiweka wazi historia yake katika soka.

Hii ni moja kati ya Makala nyingi za Ligi kuu ambazo huruka kupitia Azam Sports 2.




Other Videos By Azam TV


2018-09-06MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 6/9/2018
2018-09-06Wanaume kwenda Sokoni Zanzibar....ni mapenzi au utamaduni?
2018-09-06Je, matumizi ya vipaza sauti vya wamachinga ni hatari iliyojificha?
2018-09-06TMA yatahadharisha menejimenti za maafa kujipanga kupunguza maafa
2018-09-06Makonda akagua miradi ya ujenzi wa miundombinu Dar es Salaam
2018-09-06Xi Jinping aipa Tanzania Bil. 90
2018-09-06HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA BUTIAMA - 06/09/2018
2018-09-06Mwalimu afariki dunia akisimamia mitihani ya darasa la saba
2018-09-06Mashabiki wa soka Musoma ‘wazikataa’ Simba na Yanga (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-06Lipuli FC: Lengo letu msimu huu ni nafasi tatu za juu (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-06Tulifukia mbuzi katikati ya uwanja – Mchezaji wa zamani Singida United (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-06Jerry Tegete ‘akiwakaanga’ wachezaji wenzake wa Kagera Sugar (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-06Jaffo 'atema cheche' ubadhirifu wa bilioni 2 Nyang'hwale
2018-09-06Juma Nyosso: Niliwahi kusimamishwa mara mbili bila kujua kosa langu (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-06Akamatwa kwa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza na kuuza silaha
2018-09-06Wananchi walia na harufu kali kutoka kiwanda cha maziwa
2018-09-06Mabua ya mahindi yawa ‘lulu’ Kilimanjaro
2018-09-06Njombe wabuni mbinu ya nyuki chakula na maji
2018-09-06Rushwa 'yamtibua' DC Sabaya
2018-09-06Wananchi kuanza kujipima wenyewe VVU, sheria kufanyiwa marekebisho
2018-09-06JPM: Stiegler’s Gorge ikikamilika itaitwa 'Nyerere Gorge', kama ni kosa, potelea mbali



Tags:
Hamis Kitila
Kitila
Singida
Singida United
James
Namfua
wachezaji
michezo
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
Azam TV
soka
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League