Hii ndiyo morali ya wachezaji Mbao FC a.k.a Burnley msimu huu (MAKALA – TPL 2018/19)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Ky5mZUlgmDE
Tazama mahojiano ya wachezaji wa Mbao FC, wao kwa wao ikiwa ni sehemu ya matayarisho ya msimu mpya wa Ligi.
Wachezaji hao wamezungumza walivyojiandaa, wameeleza malengo yao, wamemzungumzia kocha wao mpya Amri Said, wamegusia sababu za majina yao ya utani na wengine wameeleza sababu za kuchagua jezi walizopewa Mbao FC.
Baadhi ya wachezaji hao ni pamoja na Abubakary Ngalema, Herbet Lukindo, Rajesh Kotecha na wengine wapya waliojiunga na timu hiyo msimu huu
Other Videos By Azam TV
Tags:
Mbao FC
Mwanza
Mbao
wachezaji
michezo
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
Azam TV
soka
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League