Rais Magufuli ataja sababu ya 'kumtumbua' Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU (07/09/2018)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=soWLzoDca-I



Duration: 1:59
4,099 views
13


Septemba 6 mwaka huu, Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU Valentino Mlowola, huku akimteua Diwani Athuman kushika nafasi hiyo.

Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu haikueleza sababu za uamuzi huo lakini leo Rais ameweka wazi sababu iliyomfanya achukue uamuzi huo.

Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara.

Katika uamuzi huo Rais Magufuli alimteua Mlowola kuwa Balozi.




Other Videos By Azam TV


2018-09-07Kipa Singida United: Napenda sana kuhonga (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-07JPM amuonya Mwenyekiti CCM wilaya kupiga kelele kwenye mitandao
2018-09-07Thobias Kifaru alivyohusika kutoa jina la ‘Mtibwa Sugar’, asimulia chimbuko lake (MAKALA - TPL)
2018-09-07Hii ndiyo morali ya wachezaji Mbao FC a.k.a Burnley msimu huu (MAKALA – TPL 2018/19)
2018-09-07Nilipotangazwa nimeshinda kuwa Rais, niliumia – Rais Magufuli
2018-09-07DC aponea chupuchupu kutumbuliwa na JPM
2018-09-07Rais Magufuli: Siku mkinifukuza CCM nitaenda Chato nikachunge Mbuzi
2018-09-07Uhaba wa maji safi yawatesa wananchi Tunduma
2018-09-07Wananchi Arusha wapata maji yenye tope, RC Gambo aingilia kati
2018-09-07BUNGENI: Dakika 12 wabunge wakimkaba koo Waziri Mwijage, sakata la sukari.
2018-09-07Rais Magufuli ataja sababu ya 'kumtumbua' Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU (07/09/2018)
2018-09-07Rais Magufuli ataja kinachomkera kutoka kwa wapinzani bungeni, amkaribisha mmoja CCM
2018-09-07Fahamu historia ya beki wa Stand United, Niyonkuru Nassor (MAKALA – TPL 2018/19)
2018-09-07Hii ndiyo mikakati ya Stand United msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara (MAKALA – TPL 2018/19)
2018-09-07Taifa Stars ilipowasili Jijini Kampala kuikabili Uganda 'The Cranes'
2018-09-07Walichozungumza kocha na wachezaji Taifa Stars ikiifuata Uganda
2018-09-07MAGAZETI: Magufuli, Tundu Lissu, Taifa Stars 'watawala' magazeti
2018-09-07Magufuli aipongeza JWTZ kwa ufugaji samaki
2018-09-07KIPYENGA CHA MWISHO: Je, penati ya Yanga SC vMtibwa ilikuwa na utata?
2018-09-06HABARI - AZAM TV 6/9/2018
2018-09-06MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 6/9/2018



Tags:
Magufuli
Tarime
Mkutano
chuo
TAKUKURU
Valentino
Mlowola
Ziara
Azam TV
Azam TV App