Rais Magufuli ataja sababu ya 'kumtumbua' Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU (07/09/2018)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=soWLzoDca-I
Septemba 6 mwaka huu, Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa TAKUKURU Valentino Mlowola, huku akimteua Diwani Athuman kushika nafasi hiyo.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu haikueleza sababu za uamuzi huo lakini leo Rais ameweka wazi sababu iliyomfanya achukue uamuzi huo.
Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara.
Katika uamuzi huo Rais Magufuli alimteua Mlowola kuwa Balozi.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Magufuli
Tarime
Mkutano
chuo
TAKUKURU
Valentino
Mlowola
Ziara
Azam TV
Azam TV App