Uhaba wa maji safi yawatesa wananchi Tunduma
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=ehq83oOxgY8
Wananchi katika Halmashauri ya Mji Tunduma mkoani Songwe wameiomba Serikali kukamilisha Mradi wa Maji ambao ulitakiwa kukamilika Desemba mwaka jana lakini hadi sasa mradi huo haujakamilika hali inayosababisha adha kwa wananchi na kupelekea kutumia maji yasiyo safi na salama.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam Sports2
Azam Tv Habari
Habari
Mji Tunduma mkoani Songwe