Wananchi Arusha wapata maji yenye tope, RC Gambo aingilia kati
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=7DwLD_MQuTI
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameitaka mamlaka ya maji ya wilaya ya Arumeru kuchunguza uharibifu unaofanywa karibu na vyanzo vya maji ili kudhibiti tatizo la wananchi wanaotumia mfumo rasmi wa maji safi kupata maji yenye udongo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam Sports2
Azam Tv Habari
Habari
Mkuu wa mkoa wa Arusha
Mrisho Gambo
Tatizo la maji Arusha