Rais Magufuli: Siku mkinifukuza CCM nitaenda Chato nikachunge Mbuzi
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=eu4TeoS5nPA
Rais Magufuli amesema kwamba utendaji mbovu wa baadhi ya viongozi umekuwa ukimchonganisha yeye na Watanzania. Amewataka viongozi kubadilika na kuwasema wale wabaya wanaofanya mambo kinyime na sharia, hata kama wanatoka ndani ya CCM. “Nitaendelea kusema ukweli, hata siku mkiamua kunifukuza ndani ya CCM nitaenda Chato nikachunge Mbuzi,” alisema Rais Magufuli.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam Sports2
Azam Tv Habari
Habari
ziara ya Rais Maguufuli Mara
JPM
Rais Magufuli