Rais Magufuli ataja kinachomkera kutoka kwa wapinzani bungeni, amkaribisha mmoja CCM
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=jyaSaAlqtHs
Rais Magufuli amesema tabia ya wabunge wa upinzani bungeni kukataa kupitisha bajeti ya serikali, huwa inamkera kwani inaweza kukwamisha utekelezaji wa shughuli za maendeleo.
Rais Magufuli pia amemkaribisha kwenye chama cha Mapinduzi CCM mbunge wa tarime Mjini Ester Matiko.
Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara,
Other Videos By Azam TV
Tags:
Magufuli
Tarime
Matiko
bungeni
Mara
Azam TV