DC aponea chupuchupu kutumbuliwa na JPM
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=zkMcV2FOm-Y
Rais Magufuli amesema Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurdin Babu ana bahati sana, kwani ilikuwa amfukuze kazi leo baada ya kukutana na kero kutoka kwa mwanamke mmoja mwenye ulemavu wa macho, ambaye amedai kuwa aliwahi kupeleka malalamiko yake kwa DC huyo lakini hakupata msaada.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam Sports2
Azam Tv Habari
Habari
ziara ya Rais Maguufuli Mara
JPM
Rais Magufuli
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurdin Babu