MAGOLI: STAND UNITED 1-2 COASTAL UNION (TPL - 02/11/2018)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=iSVuPTEbIQE
Wagosi wa Kaya Coastal Union wametoka nyuma na kuipa kichapo cha pili mfululizo Stand United kwenye dimba lao la CCM Kambarage, Shinyanga, ikiichapa mabao 2-1.
Wenyeji Stand ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya pili ya mchezo kupitia kwa Bigirimana Blaise kabla ya Khamis Kanduru kusawazisha dakika ya 67 na baadaye Ayoub Lyanga kufunga bao la pili dakika ya 85.
Tazama ilivyokuwa.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Tanzania Premier League
Soka
soccer
football
Tanzania
michezo
ligi
ligi kuu
Azam
Azam TV
Azam TV App
Goli
bao
magoli
mabao
goals
Stand Unitedm Stand
Stand vs Coastal Union
Shinyanga
Lyanga
Kanduru
Bigirimana