SZIFF2019 TANGA: Filamu kuchezwa kwenye THEATER kuna manufaa zaidi kwa wasanii?
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=fgrQ5Sj3uY4
Ndani ya mkoa wa Tanga kikosi kazi cha SZIFF2019 kilikutana na wasanii wakongwe na chipukizi na mmoja wa walioleta mvuto mkubwa zaidi ni mtunzi maarufu wa riwaya, Amri Bawji ambaye sasa amerithiwa na mtoto wake.
Amerithiwa nini?
Tazama safari hii lakini la kukupa faraja na funzo kwa wasanii, funzo la kutumia kumbi za kuonyesha filamu au maarufu kama theater katika kuonyesha kazi zao na kuzitangaza zaidi.
Je, mwamko wa wasanii na wazalishaji sanaa za filamu ukoje mkoani Tanga, ungana na SZIFF2019.
Other Videos By Azam TV
Tags:
SZIFF2019
SZIFF2019Tanga
LughaMojaTamashaMoja
Sanaa ya filamu
Tamasha Kubwa zaidi Afrika Mashariki
Sinema Zetu International Film Festival
Bongo movie