Vijana wafunzwa namna ya kupata mikopo na pembejeo
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=gkSCDf-PzKg
Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wa sekta hiyo wanaendesha mafunzo ya kilimo biashara kwa vijana 60 kutoka mikoa saba ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini yakilenga kuwawezesha kupata fursa zilizopo kwenye maeneo yao na jinsi ya kuzitumia ikiwemo upatikanaji wa mikopo na pembejeo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV App
Azam TV Habari
Habari Azam Tv
Habari
Adhuhuri Live