Msichana afanya maajabu katika matokeo-kutoka division zero hadi division 1 ya point 14.
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=jYnTomkl1sc
Kutana na Vivian Jesse Msichana mwenye Umri wa miaka 17. Aliingia kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika vizuri, lakini mazingira aliyokutana nayo yalikuwa rafiki kiasi kwamba uwezo wake uliojificha ukaonekana. Sasa anapata Division 1 na 2 akiwa na matumaini ya kuwa Mhandisi Majenzi.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Elimu
Kusoma na kuandika
Mwanafunzi
Wanafunzi
Walimu