KIPYENGA CHA MWISHO 01/11/2018: Osman Kazi angeweza kuchezesha Kombe la Dunia kwa kiwango hiki

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=oNvn0bLUQ9k



Duration: 51:58
614 views
4


Mwamuzi mstaafu na mwalimu wa Osman Kazi, Omar Abdulkadir yuko kwenye jukwaa la KIPYENGA CHA MWISHO akisadiana na Osman Kazi katika uchambuzi wa matukio yaliyozua gumzo kwenye Ligi Kuu Tanzania huku akisema Osman Kazi ndiye refa ambaye 'iwapo angeendelea na kazi hiyo' angechezesha KOMBE LA DUNIA.
Unaamini hilo?
Omar Abdulkadir ameweka wazi sababu ambazo zingemfanya Kazi awemo ndani ya Kombe la Dunia.
Pamoja na hayo pia, Abdulkadil anachambua faulo aliyoangushwa Haritier Makambao na mkwaju kupigwa na Feisal Salum a.k.a Feitoto na kuzaa goli la ushindi dhidi ya KMC.
Je, kulikuwa na tatizo lolote? Omar Abdulkadir anachambua yeye mwenyewe tukio hilo.
KIPYENGA CHA MWISHO huruka kila Alhamisi kuanzia saa 3:30 usiku ndani ya #AzamSports2




Other Videos By Azam TV


2018-11-02Uhamiaji yaibana TFF kuhusu wachezaji wa kigeni wanaoshindwa majaribio na kuzamia Tanzania
2018-11-02RC Mara aingilia kati sakata la uharibifu wa Uwanja wa Karume, atoa maelekezo
2018-11-02AFRICAN LYON 2-0 LIPULI FC; HIGHLIGHTS (02/11/2018)
2018-11-02“Tunapiga mpaka pasi 100 sasa hivi” - Manara atoa onyo kwa JKT Tanzania
2018-11-02EXCLUSIVE: “Tutajumuika naye” - Kocha Amunike azungumzia pengo la Samatta Taifa Stars
2018-11-02MAGOLI: AFRICAN LYON 2-0 LIPULI FC (02/11/2018)
2018-11-02MORNING TRUMPET: Mbinu anazatumia RC Agrey Mwanry kutekeleza maagizo ya serikali
2018-11-02MAGOLI: STAND UNITED 1-2 COASTAL UNION (TPL - 02/11/2018)
2018-11-02JPM alizuia michango kero shuleni hakuzuia wazazi kuwajibika kwa ajili ya watoto wao
2018-11-02Msichana afanya maajabu katika matokeo-kutoka division zero hadi division 1 ya point 14.
2018-11-02KIPYENGA CHA MWISHO 01/11/2018: Osman Kazi angeweza kuchezesha Kombe la Dunia kwa kiwango hiki
2018-11-02Vijana wafunzwa namna ya kupata mikopo na pembejeo
2018-11-02Serikali kutenga mabilioni kumaliza shida ya maji Bumbuli
2018-11-02Wakazi wa Rukwa waswa kutumia maktaba
2018-11-02Mwili wa Mwanahabari Samadu Hassan kuzikwa leo
2018-11-02SZIFF2019 TANGA: Filamu kuchezwa kwenye THEATER kuna manufaa zaidi kwa wasanii?
2018-11-02SZIFF2019 MOROGORO: Unaweza kushinda bila kushindana? Majibu yako ndani ya Morogoro
2018-11-02Rais Magufuli afunguka usiyoyajua juu ya ndoa yake
2018-11-02SZIFF2019 MBEYA: Sugu atema cheche kwa wasanii na kuonyesha utofauti wa SZIFF na tuzo nyingine
2018-11-02Majeruhi wa ajali ya treni wafikia 14
2018-11-02Rais Magufuli afunga mjadala suala la katiba mpya



Tags:
Omar Abdulkadir
Kipyenga cha mwisho
Osman Kazi
Haritier Makambo
Feisal Salum Fei Toto
YangaSCVsKMC
Soka
Football
Ligi Kuu Tanzania
JKTVsAzam FC
Kombe la Dunia
Osman Kazi Kombe la Dunia
Michezo
Azam Sports 2