KIPYENGA CHA MWISHO 01/11/2018: Osman Kazi angeweza kuchezesha Kombe la Dunia kwa kiwango hiki
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=oNvn0bLUQ9k
Mwamuzi mstaafu na mwalimu wa Osman Kazi, Omar Abdulkadir yuko kwenye jukwaa la KIPYENGA CHA MWISHO akisadiana na Osman Kazi katika uchambuzi wa matukio yaliyozua gumzo kwenye Ligi Kuu Tanzania huku akisema Osman Kazi ndiye refa ambaye 'iwapo angeendelea na kazi hiyo' angechezesha KOMBE LA DUNIA.
Unaamini hilo?
Omar Abdulkadir ameweka wazi sababu ambazo zingemfanya Kazi awemo ndani ya Kombe la Dunia.
Pamoja na hayo pia, Abdulkadil anachambua faulo aliyoangushwa Haritier Makambao na mkwaju kupigwa na Feisal Salum a.k.a Feitoto na kuzaa goli la ushindi dhidi ya KMC.
Je, kulikuwa na tatizo lolote? Omar Abdulkadir anachambua yeye mwenyewe tukio hilo.
KIPYENGA CHA MWISHO huruka kila Alhamisi kuanzia saa 3:30 usiku ndani ya #AzamSports2
Other Videos By Azam TV
Tags:
Omar Abdulkadir
Kipyenga cha mwisho
Osman Kazi
Haritier Makambo
Feisal Salum Fei Toto
YangaSCVsKMC
Soka
Football
Ligi Kuu Tanzania
JKTVsAzam FC
Kombe la Dunia
Osman Kazi Kombe la Dunia
Michezo
Azam Sports 2