Serikali kutenga mabilioni kumaliza shida ya maji Bumbuli
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=a2pE4HNdBEU
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mhandisi wa maji katika halmashauri ya Bumbuli Charles Boy kufanya utafiti kwenye vijiji vyote vya halmashauri hiyo ambavyo vinakabiliwa na tatizo la maji ili serikali iviweka kwenye mipango yake na kuvitengea fedha vipate huduma hiyo ya maji.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV App
Azam TV Habari
Habari Azam Tv
Habari
Adhuhuri Live
Majaliwa
Waziri Mkuu
Tatizo la maji Bumbuli