Mwili wa Mwanahabari Samadu Hassan kuzikwa leo
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=etqqAqEz4xk
Mwili wa Mwanahabari Samadu Hassan Katunzi unatarajiwa kuzikwa mchana huu nyumbani kwao wilayani Muleba mkoani Kagera.
Mwanahabari huyo aliyekuwa akifanya kazi katika Kampuni ya Sahara Media Group alifariki dunia juzi mkoani Mwanza akiwa nyumbani kwake ambapo mwili wake umesafirishwa mapema leo kutoka Mwanza kuelekea mkoani Kagera.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV App
Azam TV Habari
Habari Azam Tv
Habari
Adhuhuri Live