Serikali za kaunti hazina pesa kuendesha kazi
Channel:
Subscribers:
4,820,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=79s9x3LMv-A
Serikali za kaunti zimeendelea kukumbwa na hali ngumu kutokana na uhaba wa fedha, baada ya serikali ya kitaifa kuchelewa kutoa mgao wa mwezi Aprili na mei. Kaunti hizi zikisema zimelemewa na mzigo wa madeni ambao sasa unatishia kukwamisha kabisa shughuli zao. Mwenyekiti wa baraza la magavana fernandes barasa ameyasema haya siku moja kabla ya mkutano wa baraza la bajeti na kiuchumi hapa nairobi hapo kesho.