Wanasiasa wa Azimio waendelea kukosoa Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2023
Channel:
Subscribers:
4,820,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=EauXr-ZPmAM
Malumbano kuhusu mswada tata wa fedha wa mwaka 2023 unaelekezwa bunge juma hili, utakaposomwa kwa mara ya pili siku ya alhamisi. Na hata kabla ya malumbano ya kisheria bunge, wabunge wa upinzani na wale wa serikali wameendelea kutofautiana kuhusu mswada huu, siku tatu kabla ya kuwasilishwa bunge.