Akamatwa kwa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza na kuuza silaha
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=KJzqTrIwf-Y
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mtu mmoja aitwaye Mrisho Juma mkazi wa kijiji cha Kinamagi wilayani Uyui kwa tuhuma za kuanzisha kiwanda cha kutengeneza na kuuza silaha za zilizotengenezwa kienyeji.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP EMMANUEL Nley amesema kukamatwa kwa mtu huyo kumetokana na ushirikiano mkubwa wa raia wema ambapo mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.