Juma Nyosso: Niliwahi kusimamishwa mara mbili bila kujua kosa langu (MAKALA - TPL 2018/19)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=TzicBpVlIeY
Beki wa Kagera Sugar Juma Said Nyosso amezungumzia maisha yake mapya ya soka ndani ya timu hiyo huku akikumbushia maisha yake ya miaka saba ndani ya klabu ya Simba.
Nyosso amesema akiwa Simba aliwahi kusimamishwa kwa vipini viwili tofauti bila kuambiwa kosa lake, na hadi leo hajui.
Juma Nyosso alikuwa katika mahojiano maalum ya makala za msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambazo huruka kupitia Azam Sports 2, na ameeleza tofautia tofauti iliyopo kati ya timu yake ya zamani Simba na timu yake ya sasa, Kagera Sugar.
Nyosso ameeleza starehe anayoipenda mbali na soka, huku akieleza atakachofanya baada ya kustaafu soka.
Beki huyo wa zamani wa Taifa Stars amesema ana familia ya watoto wawili na mke mmoja.
Other Videos By Azam TV
Tags:
wachezaji
michezo
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
Azam TV
soka
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League
Nyosso
Nyoso
Juma Nyosso
Kagera Sugar
Simba