Majeruhi wa ajali ya treni wafikia 14
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=oDFezMyDaxs
Watu 14 wamejeruhuwa hii leo jijini Dar es Salaam katika ajali ya Treni inayofanya safari zake kati ya Pugu na Dar es Salaam.
Ajali hiyo imetokea eneo la Majumba Sita, Ukonga ambako mabehewa mawili yaliacha njia wakati Treni hiyo ikiwa njiani kutoka Pugu kuelekea stesheni kuu ya treni katikati ya jiji la Dar Es Salaam.
Taarifa za majeruhi hao zimethibitishwa na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana Daktari Meshack Shemwela na kutueleza kuwa majeruhi hao wanaendelea vyema na matibabu.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Azam TV
Azam TWO
Azam TV App
Azam TV Habari
Habari Azam Tv
Habari
Adhuhuri Live