SZIFF2019 MBEYA: Sugu atema cheche kwa wasanii na kuonyesha utofauti wa SZIFF na tuzo nyingine
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=gm3OADS0914
Waziri kivuli wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu anazielezea tuzo za SINEMA ZETU 2019, mbali ya kupongeza namna zilivyoandaliwa na kuendeshwa lakini hajakosa neno kwa wasanii na sanaa nzima.
Mbali ya Sugu, maprodyuza, wasanii na maafisa mbalimbali wamezielezea tuzo za SZIFF2018 na matarajio yao kwenye SZIFF2019.
Nini wanasema, ungana na kikosi kazi cha SZIFF 2019 kikiwa mkoani Mbeya.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Sugu
SZIFF2019
LughaMojaTamashaMoja
Sinema Zetu
Filamu za Bongo
Bongo Movies
Joseph Mbilinyi
Sinema Zetu International Film Festival