Thobias Kifaru alivyohusika kutoa jina la ‘Mtibwa Sugar’, asimulia chimbuko lake (MAKALA - TPL)
Pamoja na mambo mengine mengi usiyoyajua kuhusu timu ya Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro, Makala hii imeangazia hitoria ya timu hiyo.
Msemaji wa timu hiyo Thobias Kifaru ameanza kwa kusimulia chimbiko la timu hiyo tangu ilivyoundwa huku akiainisha kuwa yeye ni miongoni mwa wachezaji wa mwanzo wa timu hiyo.
Kifaru ameeleza chanzo cha timu hiyo kuitwa Mtibwa Sugar hadi kumilikiwa na kiwanda cha sukari na kuweka wazi kuwa yeye ndiye aliyetoa jina hilo la sukari.
Ezekiel masinde ambaye ni Mlezi wa timu hiyo ameeleza sababu za timu hiyo kumrejesha kikosini Salum Mayanga ambaye sasa amekuwa Mkurugenzi wa ufundi.
Kocha wa timu hiyo Zuberi Katwila amezungumzia maandalizi ya timu msimu huu ikiwemo suala la usajili, ambapo ameeleza sababu za kuwarejesha wachezaji wake wa zamani kwenye timu.
Baadhi ya wachezaji pia wamezungumza akiwemo Juma Luizio, Dickson Daud, Saleh Khamis Abdallah,