Thobias Kifaru alivyohusika kutoa jina la ‘Mtibwa Sugar’, asimulia chimbuko lake (MAKALA - TPL)

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=i_iHdR3VgQ4



Duration: 15:35
6,450 views
30


Pamoja na mambo mengine mengi usiyoyajua kuhusu timu ya Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro, Makala hii imeangazia hitoria ya timu hiyo.

Msemaji wa timu hiyo Thobias Kifaru ameanza kwa kusimulia chimbiko la timu hiyo tangu ilivyoundwa huku akiainisha kuwa yeye ni miongoni mwa wachezaji wa mwanzo wa timu hiyo.

Kifaru ameeleza chanzo cha timu hiyo kuitwa Mtibwa Sugar hadi kumilikiwa na kiwanda cha sukari na kuweka wazi kuwa yeye ndiye aliyetoa jina hilo la sukari.

Ezekiel masinde ambaye ni Mlezi wa timu hiyo ameeleza sababu za timu hiyo kumrejesha kikosini Salum Mayanga ambaye sasa amekuwa Mkurugenzi wa ufundi.

Kocha wa timu hiyo Zuberi Katwila amezungumzia maandalizi ya timu msimu huu ikiwemo suala la usajili, ambapo ameeleza sababu za kuwarejesha wachezaji wake wa zamani kwenye timu.

Baadhi ya wachezaji pia wamezungumza akiwemo Juma Luizio, Dickson Daud, Saleh Khamis Abdallah,




Other Videos By Azam TV


2018-09-07Manara awataka mashabiki wa Simba kuiunga mkono Taifa Stars
2018-09-07Lukuvi: Wakazi waliovamia eneo la mwekezaji kutobomolewa
2018-09-07Jeshi ladaiwa kushusha kipigo kwa wavuvi fukwe ya Kunduchi
2018-09-07Bunge lawajia juu wabunge watoro, lawakata posho zao
2018-09-07Mgambo waliomshambulia mkazi wa Bunju wakana shitaka
2018-09-07Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Trilioni 1. 8
2018-09-07YANGA TV: Uongozi wa Yanga watoa kauli sakata la kiungo wake kufungiwa na FIFA (Ep. 13)
2018-09-07NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Kaduguda aeleza siasa ilivyoharibu soka la Afrika Mashariki
2018-09-07Kipa Singida United: Napenda sana kuhonga (MAKALA - TPL 2018/19)
2018-09-07JPM amuonya Mwenyekiti CCM wilaya kupiga kelele kwenye mitandao
2018-09-07Thobias Kifaru alivyohusika kutoa jina la ‘Mtibwa Sugar’, asimulia chimbuko lake (MAKALA - TPL)
2018-09-07Hii ndiyo morali ya wachezaji Mbao FC a.k.a Burnley msimu huu (MAKALA – TPL 2018/19)
2018-09-07Nilipotangazwa nimeshinda kuwa Rais, niliumia – Rais Magufuli
2018-09-07DC aponea chupuchupu kutumbuliwa na JPM
2018-09-07Rais Magufuli: Siku mkinifukuza CCM nitaenda Chato nikachunge Mbuzi
2018-09-07Uhaba wa maji safi yawatesa wananchi Tunduma
2018-09-07Wananchi Arusha wapata maji yenye tope, RC Gambo aingilia kati
2018-09-07BUNGENI: Dakika 12 wabunge wakimkaba koo Waziri Mwijage, sakata la sukari.
2018-09-07Rais Magufuli ataja sababu ya 'kumtumbua' Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU (07/09/2018)
2018-09-07Rais Magufuli ataja kinachomkera kutoka kwa wapinzani bungeni, amkaribisha mmoja CCM
2018-09-07Fahamu historia ya beki wa Stand United, Niyonkuru Nassor (MAKALA – TPL 2018/19)



Tags:
Mtibwa
Mtibwa Sugar
Morogoro
Thobias Kifaru
Katwila
Masinde
Juma Luizio
Dickson Daud
Saleh Khamis Abdallah
wachezaji
michezo
ligi
Ligi Kuu Tanzania Bara
Azam TV
soka
Azam Sports
Philip Cyprian
Tanzania Premier League