Majaliwa atatua mgogoro wa miaka mitano, kiwanda cha chai Mponde chafunguliwa
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=uqeVncN6nws
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameamuru kufunguliwa mara moja kwa kiwanda cha chai cha Mponde baada ya kumaliza mgogoro uliodumu kwa miaka mitano na kusababisha kiwanda hicho kufungwa.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Kassim Majaliwa
Kassim Majaliwa Mponde
Kiwanda cha Chai Mponde
January Makamba Mponde
Wakulima wa chai Mponde
Mgogoro wa kiwanda cha chai Mponde