JPM agoma kutenga fedha za mchakato wa katiba mpya
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=kWaG0TcQBy8
Rais John Magufuli amekataa Serikali yake kutenga fedha kwa ajili ya kufanyika kwa mchakato wa kuundwa katiba mpya na kudai fedha zilizopo kwa sasa zinalenga kuboresha miradi ya maendeleo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
JPM
Rais Magufuli
Katiba mpya
mchakato wa katiba mpya
Siasa Tanzania
Katiba na Sheria Tanzania
Jaji mkuu Tanzania