Wanafunzi kidato cha 4 waonywa kutoiba mitihani Zanzibar
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=QTRkbxzuQ_w
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imetoa onyo kali kwa wanafunzi na maofisa elimu dhidi ya vitendo vya udanganyifu katika mitihani ya kidato cha nne inayotarajiwa kufanyika Novemba 5.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Elimu Zanzibar
Elimu na mafunzo ya amali Zanzibar
Mtihani wa kidato cha nne Zanzibar
Wizi wa mitihani
Watahiniwa feki Zanzibar